Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Thursday, July 3, 2014

Baada ya kushambuliwa kwa picha akiwa kama anasagana, Amber Rose atupia tena hizi

Hivi karibuni kupitia account yake ya Instagram, Amber Rose ambaye ni mama wa mtoto mmoja na mke wa mwimbaji wa HipHop nchini Marekani 'Wiz Khalifa' alishambuliwa kwa kutupia picha ikimuonyesha akipigwa 'kiss' mdomoni na msichana mwenzake 'Amber Rose, mke wa Wiz Khalifa ashambulia kwapicha inayo muonyesha akiwa kwenye kitendo cha usaganaji' kitu ambacho kilionekana kama usaganaji.
Lakini hizi ndizo picha mpya alizo tupia.