Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Saturday, July 5, 2014

Fulltime ya Argentina 1 - 0 Belgium, FIFA World Cup 2014 tazama video za magoli yote hapa

Siku ya pili ya hatua ya nane bora ya michuano ya kombe la dunia imeanza kwa mchezo uliozikutanisha Argentina vs Belgium.

Mchezo huo ulioisha hivi punde umemalizika ubao wa matokeo ukionyesha ushindi wa 1-0 kwa Argentina, bao la mshambuliaji wa Napoli Gonzalo Higuain likiipeleka timu hiyo ya Amerika ya kusini kwenye nusu fainali.

Argentina sasa anamsubiri mshindi kati ya Costa Rica dhidi ya Uholanzi kwa ajili ya mchezo wa nusu fainali.