Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Friday, July 25, 2014

Hii ndiyo video aliyo share Agnes Masogange akionyesha anavyojuwa kukata mauno

Kwa upande wa Afrika Mashariki wakizungumziwa warembo wenye umbo la mvuto, Kwa Tanzania wengi watamtaja Agnes Masogange na Kenye basi watamtaja Corazon Kwamboka warembo amabao wamekuwa waki make headline mara kwa mara kwenye social media wanapokuwa wana share picha au video zao.

Leo kupitia account yake ya Instagram, mrembo Agnes Masogange ame share video aki cheza nakuipa jina la part one. Hatujui Part two na nyingine kama zitakuja na zitakuja lini.

Itazame hii akionyesha mbali na umbo la uzuri basi anajuwa kukata mauno pia.