Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Friday, July 25, 2014

Jokate azungumzia filamu, muziki, biashara, Alikiba vs Diamond, Wema na mapenzi, msikilize hapa

Jokate Mwegelo yupo jijini Nairobi, Kenya ambapo hata hivyo hajaweka wazi ameenda kufanya nini lakini aliweza kukutana na Mzazi Willy M Tuva kwenye show ya redio inayosikilizwa zaidi nchini humo, ‘Mambo Mseto’ ya kituo cha Radio Citizen kuzungumzia masuala mbalimbali kuanzia filamu, muziki, biashara, ushindani kati ya Alikiba na Diamond na uhusiano.

Kuhusu nyimbo mpya za Alikiba  

Nimesikiliza ni nzuri, zipo tofauti, they are actually very Alikiba so I am proud of him. Pengine anataka kubadilisha muonekano wake kwasababu nikisikiliza zile nyimbo nampata Alikiba which is a good thing kwasababu kama artist lazima uwe na ile signature yako kwahiyo I still get that from him. But I think right now because ana management mpya anataka kujibrand, take it to the next level sasa hivi kwasababu kuna watu kama akina Diamond they are doing great stuff so it’s a great thing for him.

Kuhusu ushindani uliopo sasa kati ya Diamond na Alikiba  

Watu wanataka kuwashindanisha lakini kwasababu it comes with the nature of the business huyu anataka kufanya vizuri, huyu anataka kuwa on top kwahiyo mashabiki nao lazima waseme ‘muziki huu mzuri, ahh yule mzuri zaidi’ kwahiyo ni kitu cha kutegemewa. Lakini mimi nahisi kila mtu kutokana na muziki wake anaofanya, kutokana na personalities zao ambazo ni tofauti, personality ya Diamond sio personality ya Alikiba so they each have their own selling point kwahiyo sidhani kama kuna shida sana hapo.

Kuhusu ushauri anaompa Alikiba  

I just wish Alikiba achangamke kidogo, huo ndio ujumbe wangu kwake, awe more aggressive. Unajua sasa hivi artist walivyo, they are very up front like they are always on your face, he should be like that.

Kuhusu uhusiano wake na Diamond kwa sasa  


Tuko poa kwasababu tuko wote kwenye industry moja hatuwezi kuwa na beef, it will be crazy. Yeye beef yake inabidi awe na Alikiba man (anacheka).

Kuhusu nani mkali kati ya Alikiba na Diamond  

Alikiba ana fan base kubwa Tanzania wanampenda and Diamond is a hustler he does well so it’s a tie. Kila mmoja ana nafasi yake, kila mmoja anafanya muziki mzuri.

Kuhusu kama bado ana ugomvi na Wema Sepetu  

Obvious kama female mkicross paths inakuwa vile lakini we are cool, she is a great girl and it’s all love.

Kuhusu kama ana uhusiano na mtu mwingine tayari  

Nina prospects wengi.

Sikiliza interview nzima hapa.

Credit Bongo5.