Nominee wa tuzo za KTMA 2014, Maua Sama, amesema ni Hamis Mwinjuma aka Mwana FA ndiye anayemchukulia kama mkombozi wake kwakuwa alimsaidia kurejesha tena ndoto zake za kimuziki kipindi alipokuwa amekata tamaa.
Hitmaker huyo wa ‘So Crazy’, amesema alifahamiana na Mwana FA kupitia dada yake na rafiki yake ambaye alimtumia baadhi ya nyimbo za Maua alizokuwa amezirekodi mjini Moshi na sauti yake kumshawishi rapper huyo wa ‘Mfalme’. “Mwana FA alinisikia na hakutaka kipaji changu mimi kiishie hapo hapo,” Maua ameiambia Kikwetu Blog. “Kwasababu by the time ananigundua nilikuwa nimeshakata tamaa ya kuimba. Hakunifia tu, alininyanyua pia.”
Amesema kilichokuwa kimemkatisha tamaa na kurekodi nyimbo kadhaa katika studio ndogo za Moshi ambazo hazikufika popote licha ya yeye kutumia gharama kuzikamilisha. Kingine Maua ambaye hivi karibuni aliachia wimbo wake mpya ‘Let Them Know’ wenye mahadhi ya reggae, amesema wakati huo pia mama yake alikuwa hataki afanye muziki na hivyo aliamua kujikita zaidi katika elimu.
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
