Nominee wa tuzo za KTMA 2014, Maua Sama, amesema ni Hamis Mwinjuma aka Mwana FA ndiye anayemchukulia kama mkombozi wake kwakuwa alimsaidia kurejesha tena ndoto zake za kimuziki kipindi alipokuwa amekata tamaa.
Hitmaker huyo wa ‘So Crazy’, amesema alifahamiana na Mwana FA kupitia dada yake na rafiki yake ambaye alimtumia baadhi ya nyimbo za Maua alizokuwa amezirekodi mjini Moshi na sauti yake kumshawishi rapper huyo wa ‘Mfalme’. “Mwana FA alinisikia na hakutaka kipaji changu mimi kiishie hapo hapo,” Maua ameiambia Kikwetu Blog. “Kwasababu by the time ananigundua nilikuwa nimeshakata tamaa ya kuimba. Hakunifia tu, alininyanyua pia.”
Amesema kilichokuwa kimemkatisha tamaa na kurekodi nyimbo kadhaa katika studio ndogo za Moshi ambazo hazikufika popote licha ya yeye kutumia gharama kuzikamilisha. Kingine Maua ambaye hivi karibuni aliachia wimbo wake mpya ‘Let Them Know’ wenye mahadhi ya reggae, amesema wakati huo pia mama yake alikuwa hataki afanye muziki na hivyo aliamua kujikita zaidi katika elimu.
Popular Posts
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Wakati Michael Jackson akiwa amelala kwenye nyumba yake ya milele, bado familia yake imeendelea kuandamwa na tuhuma nzito zinazomhusu mfalme...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Wakati Michael Jackson akiwa amelala kwenye nyumba yake ya milele, bado familia yake imeendelea kuandamwa na tuhuma nzito zinazomhusu mfalme...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...