Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Saturday, July 19, 2014

Mtunisi Awachana “LIVE” Diamond na Wema Sepetu

Msanii mkongwe wa filamu nchini, Nice Mohamed aka Mtunisi amewapa makavu live mastaa wenzie , Diamond pamoja na hawara yake Wema Sepetu aka Mama Ubaya ,kwa kitendo alichokifanya staa huyo wa filamu (Wema) kufutarisha nyumbani kwake na kumkaribisha harawa yake (Diamond) pamoja na mama mkwe wake (haijulikani mkwewe kwa nani na kwa ndoa ipi) Bi Sanura kitendo ambacho mtunisi amekiona ni kinyume na dini yao hiyo ya Kiislamu

Credit Taarifa News.