Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Monday, July 14, 2014

Picha: Baada ya ushindi wa Ujerumani FIFA World Cup 2014, Hihi ndivyo Rihanna alivyo jirusha na wachezaji hao

Kwenye fainali ya kombe la dunia msanii Rihanna aliweka wazi kuwa yeye ni shabiki wa Ujerumani tangu mechi inaanza. Rihanna alikuwa kwenye jukwaa la watazamaji akiwa na jezi ya Ujerumani na alionekana akishangilia sana baada ya goli lililoipa ushindi ujerumani likifungwa. 

Baada ya mechi kuisha Rihanna alijumuika pamoja na wachezaji wa Ujerumani kusherekea ubingwa mara baada ya mechi. Hizi ni picha zake akiwa na wachezaji wa nchi hiyo.