Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Saturday, July 5, 2014

Picha: Mwalimu msamaria aanzisha mahusiano na mapacha walioungana India

Mapacha hao walioungana wanasema wana furaha kukutana na mwalimu msamaria Jasimuddin Ahmad aliyetokea kuwapenda.
Baada ya kuishi maisha ya usiku wenye upweke barabarani na usafiri wao, mapacha walioungana Ganga na Jamuna Mondal hatimaye wamepata mpenzi. 

Wakiwa na umri wa miaka 45, na wakijulikana kama Spider Girls, wamekuwa peke yao maisha yao yote na kuumia baada ya kukataliwa kutokana na muonekano wao wa ajabu.
Mapacha hao wenye umri wa miaka 45, Ganga na Jamuna Mondal ambao pia wanaojulikana kama Spider Girls wamekuwa wapweke maisha yao yote kutokana na kukataliwa na watu ila kwa sasa wana furaha maishani.
Ila kwa sasa wana furaha kuzidi – baada ya kupata nafasi ya kukutana na mwalimu msamaria mwema, Jasimuddin Ahmad. 
Ulikuwa upendo wa kwanza kuuona”, alisema Ganga, ambaye anatumia pamoja na dada yake mikono yake minne na miguu mitatu. 

“Tulipokutana na Jasimuddin, wote tulihisi tumekutana na mtu ambaye angejaribu kutupenda sisi. Na ndivyo anavyofanya – anatupenda kutoka kwenye moyo wake.
Kama ilivyo kwa mahusiano mengine mazuri, mazaha na utani ni sehemu ya mapenzi.
Tumekuwa na furaha sana tangu awe nasi maishani, tumeumia sana kipindi kilichopita ila kwa sasa hatutoumia tena. Tunamatumini kuwa tutaishi naye pamoja mpaka kifo kitutenganishe”, aliongeza Jamuna.
Wakiwa na familia yao, mapacha hao ambao wanatumia tumbo moja ila kila mmoja ana moyo, figo na ini lake, wamezaliwa katika familia maskini ya huko Kolkata, Bengal Magharibi.