Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Wednesday, August 6, 2014

Audio: Linex atangaza nia ya kugombea ubunge 2020 kupitia chama kipya

Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa sasa ni msanii kutoka Kigoma All Stars anaitwa Linex Mjeda.

Amekua wazi kutaja chama ambacho anategemea kugombania nafasi yake ya ubunge aliyosema kuwa tayari ana jimbo anasubiri muda tu na chama alichosema anategemea kugombea ni chama kipya cha ACT.

Soudy Brown amemuuliza maswali mengi ikiwemo kama kweli ana kadi ya chama,sikiliza alichojibu hapa.

Bonyeza play kusikiliza.