Kampuni ya Lionsgate imeamua kuchukua hatua ya kisheria dhidi ya tovuti za Torrent kwa madai ya kuvujisha filamu ya The Expandables 3 wiki mbili kabla ya kuachiwa rasmi.
Lionsgate imezitaja tovuti hizo kuwa ni Limetorrents.com, Billonuploads.com, Hulkfile.eu, Played.to, Swantshare.com, na Dotsemper.com.
Katika kesi hiyo, kampuni hiyo kubwa ya filamu inadai kuwa ilituma barua nyingi kwa kila tovuti ikiwataka kuiondoa Expandables 3 tangu July 26 hadi July 31 lakini tovuti hizo hazikujibu chochote.
Lionsgate wanataka mahakama itoe amri ya kusitisha kuendelea kuitumia filamu hiyo na pia kulipia fidia kwa hasara walioisababishia kampuni hiyo.
The Expandables 3 imeshakuwa downloaded kwenye mitandao zaidi ya mara milioni moja, lakini inatakiwa kuoneshwa kwa mara ya kwanza katika majumba ya cinema ya Marekani kuanzia Agust 15 mwaka huu.
Filamu hiyo imeandikwa na Sylvester Stallone aka Rambo, na kuwakutanisha waigizaji wakubwa kama Jet Li, Harrison Ford, Mel Gibson, Wesley Snipes, Victor Ortiz, Dolph Lundgren na wengine.
Popular Posts
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
Wakati Michael Jackson akiwa amelala kwenye nyumba yake ya milele, bado familia yake imeendelea kuandamwa na tuhuma nzito zinazomhusu mfalme...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
Wakati Michael Jackson akiwa amelala kwenye nyumba yake ya milele, bado familia yake imeendelea kuandamwa na tuhuma nzito zinazomhusu mfalme...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...