Mmoja wa wanajeshi wa Boko Haram ambaye hakutaka kujitambulisha jina alizungumza na BBC jana (July 8) na kueleza hali na afya ya wasichana zaidi ya 200 wanaoshikiliwa na kundi hilo, taarifa ambazo zilikuwa tofauti na zile za awali zilizokuwa zikitolewa na maafisa wa Nigeria.
Mtu huyo alisema kuwa wasichana hao wako katika hali salama na wana afya njema tofauti na ripoti alizozitoa Senator kuwa walikuwa wakibakwa wakichukuliwa video na wengine wakiuawa endapo wangekaidi.
Hata hivyo mtu huyo aliweka wazi msimamo wa kundi hilo kuwa watawaachia wasichana hao siku moja baada ya serikali ya Nigeria kuwaachia wafungwa wa kundi hilo wanaowashikilia.
Hivi ndivyo alivyoeleza:
“Kweli tunataka serikali ya Nigeria kuwaachia watu wetu. Kama kiongozi wetu Abubakar Shekau alivyoahidi kwenye vyombo vya habari, kama leo serikali itaawaachia watu wetu, kesho au siku inayofuata tunaahidi mtawaona wasichana wote. Tutaweza kuwaachia kesho ama siku inayofuata. Ninawaambia ukweli, wako katika hali nzuri wakisubiri kuachiliwa. Hawana tatizo. Baadhi wamebadili dini na kuwa waislam, wengine hawakubadili dini lakini hatukuwatofautisha, tunawatunza kwa usawa...”
Popular Posts
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...