Msanii hodari kwa kuimba nyimbo za mahaba kama anavyojulikana Tajiri wa Mahaba, Kassim Mganga ameeleza mpango wake wa kupeleka video zake kwenye vituo vya runinga vya kimataifa kama wanavyofanya wasanii wengine kama Diamond, AY, Shetta na wengine.
Akiongea na Times Fm, Kassim ambaye jana ameachia wimbo wake mpya ‘Motomoto’ amesema tayari yeye na menejimenti yake wameshajipanga kufanya kuzipeleka video zake kwenye vituo kama Trace, MTV na Channel O na kwamba wanaenda hatua kwa hatua.
“Safari lazima iwe na ngazi, huwezi kutoka namba moja ukaenda namba kumi direct, lazima upite namba mbili, tatu, nne, tano hadi ufike kumi.
Huenda hapa tulipo tuko kwenye namba saba kwa hiyo InshaAllah watu watarajie kutuona huko pia,” alisema Kassim.
Akizungumzia kitu kilichokuwa kikwazo kwake kufika level hizo, amesema vipo vitu vingi vilivyokuwa vinakwamisha lakini kwa sasa wako imara na kampuni yake ya Manzabay na wako tayari kufika mbali.
“Sasa niko imara tumejijenga na kampuni yangu ya Manzabay na timu yangu kwa ujumla. Menejimenti yangu iko strong na tunafocus. Na mfano utaonekana hivi punde kwa sababu tumefanya jambo tayari na inshallah litakuwa jambo”, alieleza Kassim Mganga.
Popular Posts
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...