Msanii wa Bongo Movie Kajala Masanja leo amemuandikia ujumbe binti yake Paula ambaye alizaa na Producer P Funk ikiwa leo ni siku ya kuzaliwa kwa Paula na huu ndo ujumbe alioandika kwa mwanae katika mtandao wa Instagram.
Miaka 12 iliyopita sikuwahi kujua kama itafikia siku nitajisikia hiki ninachofeel siku ya leo.. nimepitia mambo mengi sana na wewe.. nimepata shida nyingi mno lakini sikukuacha wala kukutupa.. kwenye jua ama mvua, iwe usiku ama mchana katika mitihani yote niliyopitia nilikuwa na wewe tu mwanangu.. ulikuwa kama pochi yangu.. bila kujua kesho utakuwa NANI!! nilikupenda tangu siku ya kwanza nakuona.. nilikuthamini na kuahidi nafsi yangu kuwa nitakufa na wewe katika hali yoyote ile bila kujua wewe una hisia gani juu yangu… wala sikujua kama unaweza kuja kuwa faraja kwangu.. Paula!!! Mtoto wangu wa utotoni.. mtoto ambae nna historia kubwa na wewe..
LEO napenda kumshukuru sana MUNGU kwa kunipatia wewe.. sababu uwepo wako wa miaka 12 kwenye Dunia hii umenipa majibu yote ya maswali niliyokuwa najiuliza… Umekuwa faraja kubwa sana kwenye maisha yangu.. Pamoja na umri wako kuwa mdogo umeweza kusimama na mimi kwenye hali zote.. nimeshuhudia lililoniumiza likikuumiza pia.. umenifanya nione thamani yangu.. umenipa thamani kubwa sana kwenye maisha yako.. katika safari hii umenihakikishia kuwa nina mtu mmoja ambae hata Dunia nzima initenge na kunizomea.. YEYE ATABAKI KUWA NA MIMI!!! Tena kwa moyo mmoja na mapenzi… na mtu mwenyewe si mwingine yoyote.. ila ni WEWE mwanangu.. nakupenda sana Paula!! Na nakuombea MUNGU akukuze kwenye imani na akupe kila la kheri katika dunia hii.. nilikupenda jana ukiwa mikononi mwangu, ninakupenda leo ukiwa binti na naahidi kukupenda milele katika maisha yangu ukiwa kwenye hali yoyote ile.. ulikuwa wa kwangu na utaendelea kuwa wa kwangu mpaka mwisho wa maisha yangu.. HAPPY BIRTHDAY my daughter!!!! NAKUPENDA SANA!
Popular Posts
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...