Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Tuesday, July 15, 2014

Video: Angalia kikosi cha Ujerumani kilivyopokelewa kwa shangwe nyumbani

Mabingwa wa soka duniani timu ya taifa ya Ujerumani wamewasili nyumbani hii leo na kupokelewa kwa shangwe na mashabiki wa soka wa nchi hiyo.

Kikosi cha Ujerumani ambacho kilitwaa ubingwa wa kombe la dunia mwishoni mwa juma lililopita baada ya kuifunga Argentina, katika mchezo wa fainali huko nchini Brazil kimewasili mjini Berlin majira ya asubuhi kwa saa za nchini humo.

Wachezaji pamoja na maafisa wa shirikisho la soka nchini Ujerumani ambao walikwenda nchini Brazil wameonkana wakishuka kwenye ndege kwa furaha, huku nahodha Philip Lahm akiwa ameshikilia kombe la FIFA la dunia.

Mashabiki mbalimbali wamejitokeza katika mitaa ya mji wa Berlin kuwalaki wachezaji wa timu ya taifa ambao walikuwa kwenye gari la wazi.