Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam linawashikilia watu wanane wakiwemo madaktari wa chuo cha udaktari cha IMTU kwa ajili ya uchunguzi wa tukio la viungo vya binadamu vilivyokutwa katika bonde la Mbweni mpiji eneo la Bunju.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, kamishina wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Sulemani kova amesema kuwa uchunguzi wa awali umebaini kuwa miili hiyo imethibitika kutoka katika chuo cha udaktari cha IMTU
Aidha kamishina kova amesema kuwa katika tukio hilo walikuta mifuko 85 ambayo ilikuwa imebeba viungo vya binadamu vilivyokaushwa vikiwemo vichwa, miguu, mikono, mapafu, vifua na mifupa ya aina mbalimbali.
Amesema kuwa jeshi la polisi limeunda jopo la watu 7 likiongozwa na mkuu wa upelelezi kanda maalum ya Dar es salaam kamanda Jaffary Mohamed hivyo amewataka wananchi kuendelea na shughuli zao huku uchunguzi wa kina ukiendelea
Kamanda Kova amesema uchunguzi huo utabaini endapo kuna uhalifu au uzembe uliofanyika na hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya watakaobainika kuhusika.
Lakini pia amewataka watanzania kutolihusisha tukio hilo na masuala ya kishirikina au upotevu wa watu hadi hapo jopo litakapotoa taarifa rasmi baada ya uchunguzi kukamilika.
Msikilize hapa:
Credit Times Fm.
Popular Posts
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...