Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam linawashikilia watu wanane wakiwemo madaktari wa chuo cha udaktari cha IMTU kwa ajili ya uchunguzi wa tukio la viungo vya binadamu vilivyokutwa katika bonde la Mbweni mpiji eneo la Bunju.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, kamishina wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Sulemani kova amesema kuwa uchunguzi wa awali umebaini kuwa miili hiyo imethibitika kutoka katika chuo cha udaktari cha IMTU
Aidha kamishina kova amesema kuwa katika tukio hilo walikuta mifuko 85 ambayo ilikuwa imebeba viungo vya binadamu vilivyokaushwa vikiwemo vichwa, miguu, mikono, mapafu, vifua na mifupa ya aina mbalimbali.
Amesema kuwa jeshi la polisi limeunda jopo la watu 7 likiongozwa na mkuu wa upelelezi kanda maalum ya Dar es salaam kamanda Jaffary Mohamed hivyo amewataka wananchi kuendelea na shughuli zao huku uchunguzi wa kina ukiendelea
Kamanda Kova amesema uchunguzi huo utabaini endapo kuna uhalifu au uzembe uliofanyika na hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya watakaobainika kuhusika.
Lakini pia amewataka watanzania kutolihusisha tukio hilo na masuala ya kishirikina au upotevu wa watu hadi hapo jopo litakapotoa taarifa rasmi baada ya uchunguzi kukamilika.
Msikilize hapa:
Credit Times Fm.
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
