Kulingana na uchunguzi wa vimelea vinavyosababisha Malaria huweza kuishi kwenye uboho (bone marrow) na kuepuka kinga za mwili na hivyo basi kusababisha maradhi.
Uchunguzi huu umedhihirishwa na bwana Marti ambaye alizungumza na shirika la habari la Uingereza, BBC.
Swala la vimelea hivyo kujificha kwenye uboho si jambo geni, lakini kundi la wanasayansi wakiongozwa na Profesa Matthias Marti katika idara ya Afya ya umma kule Harvard, Boston, walifichua hasa ambako vimelea hivyo hujificha na kutoa maonyesho.
Uzinduzi huu una umuhimu mkubwa kwa misingi kuwa umeleta ujuzi unaohitajika sana na huweza kupelekea kuundwa kwa dawa na kinga mpya za kukabiliana na vimelea hivyo ili kuzuia maambukizi.
Kwa mujibu wa wanasayansi huko Harvard, uchunguzi huu uliochapishwa na jarida la kisayansi la Science Translational Medicine, umeongeza ujuzi wa kibaiologia utakaotumika kuchunguza ugonjwa wa Malaria hata zaidi.
Vimelea vinavyosababisha Malaria huambukizwa hasa kupitia mbu, na husababisha vifo zaidi ya nusu kila mwaka ulimwenguni.
Takwimu zilizotolewa hivi karibuni na Shirika la afya duniani, zinapendekeza kuwa Malaria ilisababisha vifo 600,000 mwaka wa 2012, na takriban asilimia 90 ya vifo hivyo vilitokea Afrika.
Popular Posts
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...