Kuna baadhi ya matukio ya kivamizi tumezoea kuyaona kwenye filamu za kipelelezi huku yakituacha midomo wazi na sifa zote zinaenda kwa mtayarishaji, muongozaji na waigizaji wa filamu hiyo.
Lakini hili ni tukio halisi na sio filamu, unapodhani kuna usalama wezi hubuni mbinu ambazo hata hazifiriki kirahisi.
Maafisa wa Plainfield, New Jersey, Marekani walijikuta katika wakati mgumu wakimsaka mtoto mwenye umri wa miaka 8 ambaye anadaiwa kuiba bank kwa kutumia iPad yake tu.
Taarifa zinaeleza kuwa tukio hilo lilitokea majira ya saa sita mchana Jumatano June, 25 mwaka huu katika beki inayoitwa Greater Plainfield Bank & Trut. Maafisa walifika katika eneo la tukio haraka kuungana na walinzi kumsaka mtoto huyo baada ya kupigiwa simu na mkuu wa ulinzi wa bank hiyo ambapo awali walidhani alikuwa anatania.
Walipofika eneo la tukio, wafanyakazi wa benki hiyo walieleza jinsi ambavyo tukio hilo limetokea, ambapo mtoto huyo kwa utulivu alitembea hadi kwa mmoja kati ya tellers ambaye jina lake halikutajwa.
Alipofika kwa teller huyo kwa utaratibu tu alimpa iPad iliyokuwa na message juu iliyosomeka ‘giv me all of th money I hav a gun n my bookbag’. Kwa uoga mfanyakazi huyo ambaye aliishia kuuona mkono na iPad zaidi, alimkabidhi pesa zinazokadiriwa kuwa $12,000 na mtoto huyo alifanikiwa kuvuka mlango tu na kuchukua ‘motorized scoote’ akatoweka haraka kwenye jengo hilo.
Camera za jengo hilo zinamuonesha mtoto huyo aliyekuwa amevaa fulana nyekundu iliyoandikwa mbele ‘TURN DOWN 4 WHAT?’. Na anaonekana akitereza na begi lenye pesa begani kwake. Hakuna shuhuda mwingine aliyeshtukia wakati wa tukio hilo zaidi ya mfanyakazi wa benki.
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
