1: Kabla ya Barcelona, Neymar ameichezea klabu moja tu ambayo ni Santos. Hii ilikuwa baada tu ya kutoka kwenye shule ya soka ya Santos aliyojiunga nayo mwaka 2003 akiwa na miaka 11.
2: Alifunga goli lake la 100 kwenye maisha yake ya soka tarehe 5 February 2012, ilikuwa siku yake ya kuzaliwa na alikuwa anafikisha miaka 20.
3: Real Madrid walitaka kumsajili toka akiwa na miaka 14, walifatilia maisha yake ya soka mpaka kumpa dili,Neymar alipitia mambo yote mpaka vipimo vya afya ila mwaka 2011 ilishindikana kwenda Real pale Santos walipotoa pesa nyingi zaidi kumbakiza Brazil.
4: West Ham ndio klabu kubwa ya kwanza kutaka kumsajili Neymar baada ya kuona kipaji chake, Ilikuwa tayari kutoa paundi milioni 12, ndio chanzo cha Neymar kutambulika kama mchezaji wa kimataifa zaidid,ikafwatiwa na Chelsea.
5: Neymar alikosa namba kwenye kikosi cha timu ya taifa ya brazil ya kombe la dunia la mwaka 2010 kilichopangwa na Dunga, hakuwepo hata kwenye wachezaji wa dharura ingawa Pele na Romario walipendekeza awepo.
6: Neymar amekuwa baba akiwa na miaka 19,mtoto wake wa kwanza wa kiume anaitwa David Lucca na mpaka sasa Neymar hajaijulisha dunia mama wa mtoto ni nani.
7: Neymar ni mchezaji wa tisa kwenye orodha wa wachezaji wa Barcelona walionunuliwa kwa ada kubwa zaidi. Ada yake ya uhamisho ni €57 million.
8: Ukizingatia wachezaji wakali wanaotoka Brazil, Neymar ndio mchezaji wa kwanza wa Brazil kukava jarida la Time, Na Wabrazil wengi waliokava jarida hili ni wanasiasa.
9: Neymar alivyojiunga na Barcelona alipewa dili linalomlipa dola milioni 74 ndani ya mwaka mmoja, mwaka 2012 alitajwa kuwa mchezaji wa saba tajiri zaidi duniani huku jarida la Forbes likimtaja kuwa mchezaji anayelipwa zaidi duniani mwenye miaka chini ya 25. Kwa sasa ni wa sita kwenye wanasoka na wanamichezo matajiri zaidi duniani.
10: Mwaka 2012 na 2013 Neymar ametajwa kuwa mchezaji anayeuza zaidi akiwekwa kwenye matangazo na Jarida la SportsPro na kuwafunika wachezaji kama Ronaldo, Messi,Rory McLlroy na Usain Bolt.
Popular Posts
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
Wakati Michael Jackson akiwa amelala kwenye nyumba yake ya milele, bado familia yake imeendelea kuandamwa na tuhuma nzito zinazomhusu mfalme...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
Wakati Michael Jackson akiwa amelala kwenye nyumba yake ya milele, bado familia yake imeendelea kuandamwa na tuhuma nzito zinazomhusu mfalme...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...