Unaambiwa iliuweze kuwa shabiki mzuri wa soka baadhi ya vitu kama ftina na majungu huna budi kukutana navyo iwe katika shughuli zako za kutafuta pesa , au kwenye viwanja vya soka wakati wakuzishuhudia mechi haswa zile za watani wajadi.
Bila kusahau kwenye ‘vibanda-umiza’ ambako ndiko utamu pamoja na mzuka wa soka ulipo.
Katika ushabiki huo pia utapata fursa za kuzifahamu a.k.a za baadhi ya mastaa mahiri kwa mfano mashabiki wengi wa soka hupenda kumuita Luis Suarez zombi (Vampire), kutokana na tabia zake za kung’ata wachezaji wa timu pinzani pale anapoona amezidiwa.
Pia unaambiwa wapo baadhi ya mastaa wa soka wasiokuwa na muonekana wa mchezo huo, baadhi ya mastaa hao ni kama wafuatao pamoja na kazi wanazopaswa kuzifanya njee ya soka;
Mario Balotteli (Gangster Rapper/hip hop),
Wayne Rooney (Boxing)
Gerrald Pique (Taxi Driver),
Bacary Sagna (Native doctor)
Oliver Giroud (Modelling),
Daniel Osvaldo (Actor)
Aristedi Bance (Armed Robber),
Ramires (Sugar-cane seller)
Scott Parker (Choir master),
Raheem Sterling ( Athletics)
Kaka (evangelist),
Ronaldo (love-vendor)
Messi (house boy),
Bale (hunter)
De Gea (sales boy),
Luis Suarez (vampire)
Kompany (military),
Demba Ba (imam)
Ibrahimovic (looking like Colombian drug dealer)
Popular Posts
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
Wakati Michael Jackson akiwa amelala kwenye nyumba yake ya milele, bado familia yake imeendelea kuandamwa na tuhuma nzito zinazomhusu mfalme...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
Wakati Michael Jackson akiwa amelala kwenye nyumba yake ya milele, bado familia yake imeendelea kuandamwa na tuhuma nzito zinazomhusu mfalme...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...