Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Thursday, July 31, 2014

Wafahamu mastaa wa soka wasiokuwa na muonekano wa mchezo huo

Unaambiwa iliuweze kuwa shabiki mzuri wa soka baadhi ya vitu kama ftina na majungu huna budi kukutana navyo iwe katika shughuli zako za kutafuta pesa , au kwenye viwanja vya soka wakati wakuzishuhudia mechi haswa zile za watani wajadi. 
Bila kusahau kwenye ‘vibanda-umiza’ ambako ndiko utamu pamoja na mzuka wa soka ulipo. 

Katika ushabiki huo pia utapata fursa za kuzifahamu a.k.a za baadhi ya mastaa mahiri kwa mfano mashabiki wengi wa soka hupenda kumuita Luis Suarez zombi (Vampire),  kutokana na tabia zake za kung’ata wachezaji wa timu pinzani pale anapoona amezidiwa. 
Pia unaambiwa wapo baadhi ya mastaa wa soka wasiokuwa na muonekana wa mchezo huo, baadhi ya mastaa hao ni kama wafuatao pamoja na kazi wanazopaswa kuzifanya njee ya soka;

Mario Balotteli (Gangster Rapper/hip hop), 
Wayne Rooney (Boxing) 
Gerrald Pique (Taxi Driver), 

Bacary Sagna (Native doctor) 
Oliver Giroud (Modelling),  
Daniel Osvaldo (Actor) 
Aristedi Bance (Armed Robber), 

Ramires (Sugar-cane seller) 
Scott Parker (Choir master), 
Raheem Sterling ( Athletics) 
Kaka (evangelist), 

Ronaldo (love-vendor) 
Messi (house boy), 
Bale (hunter) 
De Gea (sales boy),  

Luis Suarez (vampire) 
Kompany (military), 
Demba Ba (imam) 
Ibrahimovic (looking like Colombian drug dealer)