Wakati mashabiki wa soka wa nchini Brazil wakiendelea kujiuliza KULIKONI? Vyombo vya habari vya nchini Uholanzi vimeanza mbwembwe kuelekea katika mchezo wa pili wa hatua ya nusu fainali ambapo timu ya taifa ya nchi hiyo itapambana na Argentina.
Gazeti la De Telegraph la nchini Uholanzi limetoa picha ya kocha wa timu ya taifa ya nchi hiyo ambayo ilimkebehi mchezaji wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi.
Picha hiyo ya kejeli imeweka katika ukrasa wa mbele wa gazeti hilo, kwa kuashiria Argentina hawana chao kuelekea kwenye mchezo huo ambapo mshindi atakaepatikana ataungana na Ujerumani katika mchezo wa hatua ya fainali uliopangwa kuchezwa siku ya jumapili huko nchini Brazil.
Gazeti lingine la nrc nalo limetoa picha inayomkebehi Lionel Messi, ambaye ni nahodha wa kikosi cha Arngetina ambapo bado picha hizo zinachukuliwa kama ushindi wa vita ya nje ya uwanja.
Katika gazeti hilo picha ya Lionel Messi inaonekana akiwa anakamua juisi ya machunga ambayo itanywewa na na wachezaji wa timu ya taifa ya Uholanzi mara baada ya mchezo wa hii leo.
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...

