Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Sunday, July 6, 2014

Ripoti inasema Watu 30 wauawa katika shambulizi, kenya

Wizara ya maswala ya ndani nchini Kenya inasema kuwa takriban watu thelathini wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti katika makaazi ya pwani ya kenya karibu na mpaka wa Somali. 
Mashambulizi katika eneo la Mpeketoni kenya
Watu 20 waliuawa katika eneo la Gamba kaunti ya Tanariver huku tisa wengine wakiuawa kufuatia ufyatulianaji wa risasi katika kituo kimoja cha kibiashara kaunty ya lamu karibu na mpaka wa Somali. 

Inadaiwa kuwa watu walikuwa wakitizama mechi za kombe la dunia wakati wa tukio hilo. 
Shambulizi la pili lilitekelezwa karibu na eneo la Mpeketoni ambapo zaidi ya watu sitini waliuawa katika shambulizi jengine mwezi uliopita. 
Kundi la wapiganaji wa Al shabaab limekiri kutekeleza mashambulizi hayo.