Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Thursday, July 3, 2014

SabaSaba: Wasanii wa 'Original Comedy' wageuka wahudumu wa mgahawa waliouanzisha

Maonesho ya 38 ya sabasaba yanaendelea katika eneo la Sabasaba, Dar es Salaam. Makampuni, vikundi na watu mbalimbali wamefika kwa wingi kuonesha bidhaa zao kwa mtindo utakaowawezesha kuwa karibu zaidi na wateja wao. 
Kundi la Ucheshi la ‘Original Comedy’ linaloundwa na wachekeshaji kama Joti, Masanja Mkandamizaji, Wakuvanga, Mpoki na Mack Regani limeanzisha mgahawa halisi kwenye maonesho hayo ambapo wasanii wa kundi hilo ndio wahudumu. 

Wakizungumza na 100.5 Times Fm, wasanii wa kundi hilo wamesema kuwa wamefanya hivyo kwa lengo la kuonesha biashara yao, kuwa karibu zaidi na mashabiki wao na kwamba wanaendelea kuwahudumia na kupiga nao picha kwa muda wote watakaokuwa katika maonesho hayo.

Credit TIMES FM.