Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Monday, July 14, 2014

Shaa kuungana na wakali Afrika

Msanii wa kike nchini Shaa
Msanii wa kike nchini Tanzania Shaa ambaye hivi sasa amefyatua wimbo wake mpya 'Subira' ataungana na wasanii mbalimbali kutoka barani Afrika katika kutengeneza muziki wenye mchanganyiko wa vionjo vya kisasa vyenye asili ya Afrika.

Shaa pamoja na Joh Makini wataungana na wasanii kutoka Afrika Mashariki wakiwemo Fena, Rabbit, Jay A, Victoria Kimani, Navio, Jackie Chandiru na Lillian Mbabazi. 

Aidha wasanii kutoka Nigeria Burna Boy, Flavour, Iyanya, Waje na Olamide pia Neyma na Jose Valdemiro kutoka Mozambique watajumuika pamoja kutengeneza nyimbo hizo za kiafrika zitakazofanyika katika studio kubwa inayomilikiwa na kampuni ya vinywaji laini.