Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Friday, July 4, 2014

Tazama hapa video ya magoli yote mechi ya France vs Germany 0-1 FIFA World Cup 2014

Hatimaye hatua ya 8 bora ya michuano ya kombe la dunia imeanza usiku wa kuamkia leo kwa michezo miwili kati ya Brazil dhidi ya Colombia na ufaransa dhidi ya Ujerumani.

Kwenye mchezo wa kwanza Ujerumani ilifanikiwa kuifunga Ufaransa 1-0 kwenye mchezo mkali uliozikutanisha timu hizo, goli la beki wa Borrusia Dortmund Matt Hummels alilofunga kwa kichwa katika kipindi cha kwanza likaipeleka Ujerumani nusu fainali ya tatu mfululizo tangu mwaka 2006.