Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Tuesday, July 15, 2014

Video: Karruche’ atoa machozi akihojiwa kuhusu Rihanna na Chris Brown

Kwa mara ya kwanza girlfriend wa msanii ‘Chris Brown’ mwanadada ‘Karrueche’ atoa machozi akizungumzia Drama za mwanadada Rihanna na mashabiki wake kwenye mahojiano na mtangazaji ‘Just KeKe’ on BET, akizungumzia maisha yake binafsi.

Hasa maumivu aliyoyapata baada ya Chris Brown kuanza upya kutoka na Rihanna baada ya matatizo yao ya kupigana na kuachana.