Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Monday, July 14, 2014

Bucha kufanya remix Nigeria

Msanii mahiri wa muziki wa Bongofleva, Baucha hivi sasa anaendeleza kuutangaza muziki wake kimataifa zaidi baada ya kutoa kichupa cha wimbo wake mpya unaoitwa 'Champododo'.
Msanii wa muziki nchini Tanzania Baucha
Baucha ameiambia eNewz kuwa hii ni moja ya kazi yake ya tatu mpya kutoa ambapo mpango mzima unaofuata ni kufanya remix ya ngoma hiyo akishirikiana na msanii Tekno kutoka nchini Nigeria na kuifanyia shooting nchini Italia mwezi Septemba mwaka huu. 

Aidha, Baucha ambaye pia huinua vipaji vya wasanii chipukizi ameongezea kuwa ndani ya mwezi huu anatarajia kuibua msanii chipukizi mkali wa miondoko ya hip hop katika lebo yake ya 'Baucha Records'.