Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Monday, July 14, 2014

Picha: Joh Makini siku saba ndani ya Coke Studio Nairobi, hiki ndicho anacho kifanya

Rapper Joh Makini kutoka kampuni ya Weusi ambaye yupo jijini Nairobi, Kenya baada ya kuchaguliwa kwenye mashindano ya Coke Studio, Hizi ni picha ambazo ame share kupitia ukurasa wake wa Instagram kuonyesha bado anazidi ku pambana.

Unaweza ku download New Music 'I See Me' Joh Makini (Extended Version by XpandableDJz), hapa.

Endelea kutazama picha.