Mashabiki wa timu ya taifa ya Colombia, wakiwepo watu maarufu wa nchi hiyo wamezichapa kavu kavu katika moja ya mijahawa mjini Fortaleza, ikiwa ni saa kadhaa kabla ya mpambano wa hatua ya robo fainali, ambao utashuhudia timu yao ya taifa ikipambana na Brazil.
Miongoni mwa watu walioonekana kwenye zogo hilo ni waigizaji maarufu wa nchini Colombia Manolo Cardona na Carolina Guerra, huku mtoto waraisi wa nchi hiyo Yamid Amat akihusika pia.
Chanzo cha ugomvi baina ya mashabiki wa Colombia walikuwa kwenye mgahawa huo hakijafahamika mara moja, lakini kila mmoja alionekana ni mwenye hasira kabla ya wasamaria wema hawajawatuliza.
Ugomvu huo umeacha hasara kubwa katika mgahawa huo, kufuatia mashabiki hao wa Colombia kurushiana vitu vya kuvunjika kama sahani pamoja na bilauri, hali ambayo ilizua taharuki kwa wateja wengine waliokuwa wakiburudika mgahawani hapo.
Timu ya taifa ya Brazil itapambana na Colombia katika mchezo wa hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la dunia mishale ya saa kumi na moja kwa saa za nchini Brazil lakini kwa hapa nyumbani itakuwa saa tano usiku katika dimba la Estádio Castelão
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
