Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Friday, July 4, 2014

Mya ajibu tuhuma za kuchepuka na Jay Z

Mwimbaji wa kike na Muigizaji, Mya amejibu tuhuma zilizoripotiwa jana na vyombo vya habari kuwa anatoka na Jay Z na kwamba rapper huyo anamhudumia kifedha kama mpenzi wake. 
Akijibu swali la shabiki mmoja aliyetaka kupata jibu lake kuhusu tuhuma hizo, mrembo huyo alikanusha kwa msisitizo huku akirusha lawama kwa vyombo vya habari kuwa vinatumia vyanzo ambavyo havina ukweli. 

Akijibu point ya kuwa anahudumiwa kifedha na Jay Z, Mya alieleza kuwa yeye ana kampuni yake mwenyewe na label yake na anamtegemea Mungu pekee na anajiheshimu na kuheshimu ndoa. 

“Never did, never was, never will. Illegitimate, thirsty sources with no facts and that's the ‘media' for you-especially today. I play second to no one, pay my own bills, have my own label, own management company, rely on God only and respect myself & marriage too much for nonsense.” Aliandika.