Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Sunday, July 20, 2014

Kupitia Instagram Jackline Wolper ameeleza hisia zake kwa Ali Kiba, haya ndiyo aliyosema

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva nchinia, Alli Kiba ambaye amekaa kwa muda bila kutoa wimbo wake ukasikika kwenye vyongo vya habari au ku downlodiwa kwenye social network leo amepata sifa kutoka kwa msanii wa filamu nchini Jackline Wolper.

Kupitia account yake ya Instagram Wolper ameandika haya ''MIMI NAKUBALI TUU KAZI ZAKE ...ATA WE JIRANI YANGU HAPA IGERZ NAAMINI UNAMKUBALI..HAYA TUSHINDE SALAMA NA MUNGU ATULINDE AMEN..'' akiwa kaambatanisha na picha ya Ali Kiba hiyo hapo juu. Hop kumsikia Ali Kiba soon kwenye burudani ya muziki.