Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Sunday, July 20, 2014

Young Killer Msodoki featuring Banana Zoro 'Umebadilika' coming soon

Rapper anaye kick kwenye game la muziki hapa Tanzania, Young Killer Msodoki anatarajia kuachilia ngoma yake ambayo ameshirikana na msanii mkongwe nchini Banana Zoro kwenye ngoma iitwayo 'Umebadilika'.

Kupitia account yake ya Instagram na wasanii wengine akiwema Jackline Wolper wamepata kuongelea wimbo huo baada ya kuusikiliza kabla haujaachiliwa rasm.
Jackline Wolper ameandika ''NIMEISIKIZA MDOGO WANGU SAFII SAANA KAZ NZUR BANANA KATENDA HAKI PIA... @youngkillermsodoki''

So nadhani tusubiri tar 22 July, 2014 kwa ngoma hii.