Kabla yakufanya mahojiano na waandishi wa habari, Neymar, 22, katika hali ya majonzi alikwenda kuwasalimia wachezaji pamoja makocha wa timu yao ya taifa wakati wakifanya mazoezi katika kambi yao kwa ajili ya kujianda na mchezo wa kumtafuta mshindi wa tatu dhidi ya Uholanzi, mchezo utakaochezwa siku ya Jumamosi.
Katika mahojiano hayo Neymar alizungumzia juu ya kuombwa msamaha na mlinzi wa Colombia aliyemsababisha akose mechi yao ya nusu fainali dhidi ya Ujerumani.
“Carlos Zuniga alinipigia simu na kuniomba msamaha na nikakubali, sidhani kama alikuwa amedhamiria kuniumiza lakini kwa watu wanaojua mpira wa miguu nadhani ile haikuwa rafuu ya kawaida”, alieleza Neymar.
Inasemekana kwamba Neymar alizima televisheni yake mara baada ya Ujerumani kufunga goli la saba, katika mchezo huo ambao uliishia kwa magoli 7-1. “Nilihisi kuchanganyikiwa na kutoamini kilicho tokea”, alisikika Neymar Pia aligusia mchezo wa fainali ambapo watani wao wa jadi Argentina watacheza na Ujerumani.
“Mimi sio shabiki wa Argentina ila nataka wachezaji wenzangu wa Barcelona Messi na Mascherano wachukue Kombe la Dunia, timu yangu ni Messi football club.”
Popular Posts
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...