Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Wednesday, August 6, 2014

Kim Kardashian abadili jina lake kisheria, aonesha kwenye passport

Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi kwa kuweka jina la Kanye West. 
Mwanamitindo huyo amefanya mabadiliko hayo na kushare kwenye Instagram Jumanne, July 5. “New passport pic #Mrs.West #NameChange.” 

Kim Kardashian amekuwa atumia jina la Kim Kardashian West kwenye Instagram lakini halikuwa jina lake rasmi kisheria, hadi jana alipofanya mabadiliko na kulihamishia kwenye passport yake na kila kitu kinachomtambulisha kisheria.