Select Menu

Ads

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom

Friday, July 11, 2014

Izzo Bizness: sichaji kolabo

Msanii wa bongo fleva Izzo Bizness
Baada ya kutoa wimbo wake mpya ambao umetambulishwa wiki hii uliobatizwa jina 'Walala Hoi' msanii Izzo Bizness aamua kuweka wazi kuhusiana na swala zima la kufanya kolabo na kushoot videos na wasanii nchini.

Izzo Bizness ameongea na enewz juu ya zoezi hilo haswa ukizingatia asilimia kubwa ya wasanii nchini huchaji kiasi kikubwa cha pesa kwa ajili ya kufanya colabo na kazi zingine za muziki.