Mmoja wa wanajeshi wa Boko Haram ambaye hakutaka kujitambulisha jina alizungumza na BBC jana (July 8) na kueleza hali na afya ya wasichana zaidi ya 200 wanaoshikiliwa na kundi hilo, taarifa ambazo zilikuwa tofauti na zile za awali zilizokuwa zikitolewa na maafisa wa Nigeria.
Mtu huyo alisema kuwa wasichana hao wako katika hali salama na wana afya njema tofauti na ripoti alizozitoa Senator kuwa walikuwa wakibakwa wakichukuliwa video na wengine wakiuawa endapo wangekaidi.
Hata hivyo mtu huyo aliweka wazi msimamo wa kundi hilo kuwa watawaachia wasichana hao siku moja baada ya serikali ya Nigeria kuwaachia wafungwa wa kundi hilo wanaowashikilia.
Hivi ndivyo alivyoeleza:
“Kweli tunataka serikali ya Nigeria kuwaachia watu wetu. Kama kiongozi wetu Abubakar Shekau alivyoahidi kwenye vyombo vya habari, kama leo serikali itaawaachia watu wetu, kesho au siku inayofuata tunaahidi mtawaona wasichana wote. Tutaweza kuwaachia kesho ama siku inayofuata. Ninawaambia ukweli, wako katika hali nzuri wakisubiri kuachiliwa. Hawana tatizo. Baadhi wamebadili dini na kuwa waislam, wengine hawakubadili dini lakini hatukuwatofautisha, tunawatunza kwa usawa...”
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
