Gwiji wa soka Alfredo Di Stefano aliyeziwakilisha timu za Argentina,Colombia,na Hispania katika michuano ya kimataifa amefariki Dunia baada ya kupata shambulio la moyo.
Nyota huyo anayetambulika kama Nembo ya klabu ya Real Madrid amefariki akiwa na umri wa miaka 88.
Raisi huyo wa heshima wa klabu ya Real Madrid alipata shambulio hilo la moyo siku ya Jumamosi karibu na mitaa iyopo Santiago Bernabeu,siku moja baada ya sherehe yake ya kuzaliwa na kutimiza umri wa miaka 88,mauti yalimfika siku ya leo Jumatatu baada ya hali yake ya kiafya kuzorota gafla..
Di Stefano alianza kipaji chake cha soka akicheza klabu ya River Plate na baadae akahamia Madrid ambapo awali akitokea klabu ya Millonarios ya nchini Colombia mwaka 1953,katika kipindi hicho alikaribia pia kujiunga na Barcelona.
Gwiji huyo aliiwezesha klabu yake ya Bernabeu kubeba mataji nane ya Liga na makombe matano ya European Cups kati ya miaka 1953 na 1964 Mkalii huyo wa magoli aliweza kufunga magoli 308 katika mechi 396 alizocheza nakushika nafasi ya pili katika orodha ya wafungaji bora wa klabu hiyo nyuma ya Raul Gonzalez Blanco mwenye rekodi ya magoli 323.
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
