DJ mkongwe ambaye siku zote amekuwa na projects mbalimbali za muziki, DJ Khaled ametangaza kuanzisha Headphones zake alizozipa jina la “We The Best Sound”.
DJ huyo ametangaza rasmi kuanzisha bidhaa hiyo ya headphones na kueleza kuwa ameamua kushirikiana na Heads Audio& Bang Olufsen kwa lengo la kutengeneza headphones bora zaidi kuwahi kutokea katika soko la muziki.
Swahiba wa DJ Khaled, Fat Joe ndiye msanii wa kwanza kuwa balozi wa hiari wa ‘We The Best Sound’.
Wengine waliompa sapoti ni French Montana na Flo rider.
DJ Khaled amefuata nyayo za wasanii ambao tayari wana bidhaa ya headphones sokoni kama Dr Dre (Beats by Dre), 50 Cent na Luda Cris pia. Biashara hii ndiyo iliyompa Dre Dremchongo uliomfanya kuwa billionaire wa kwanza mwana hip hop.
Hivi ndivyo alivyaondika DJ Khaled Instagram na kuambatanisha na picha ya Headphones zake:
“Today I am proud to announce that I have partnered with Heads Audio & Bang Olufsen to create the best audio in the market place, We The Best Sound. We The Best Sound represents the very best in audio entertainment. Alongside the prestigious Bang Olufsen brand, We The Best Sound and Heads Audio will provide the listener with the highest quality sound in electronic audio entertainment and will continue to carry on the tradition in excellence set by Bang Olufsen. It will also provide the listener a chance to hear audio the way I hear it when creating my music. I take pride in crafting a sound based on time, care and most importantly the best quality sound on the planet. Embark on this journey in sound with me…you won’t be disappointed. We The Best Sound, the brand you can trust. H6 with Dj Khaled by B&O @wethebestmusic @wethebestsound @headsaudio @beoplay #GODISTHEGREATEST!”
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...

