Shujaa wa timu ya taifa ya Ujerumani, Mario Gotze ameonekana kama mtu mwenye kichaa baada ya kuendelea kujivinjari katika kipindi hiki cha mapumziko, kabla ya kurejea Allianze Arena kujiunga na wachezaji wenzake wa FC Bayern Munich.
Gotze, aliefunga bao la ushindi dhidi ya Argentina wakati wa mchezo wa hatua ya fainali kwenye michuano ya kombe la dunia ameonekana katika hali hiyo akiwa na rafiki yake wa kike, Ann Kathrin Brömmel.
Wawili hao walikutwa wakiogelea kwenye dimbwi la matope katika moja ya fukwe huko nchini Ujerumani, na kisha walijitokeza hadarani wakiwa na mandhari ya kama watu waliorukwa akili, lakini mwisho wa siku imefahamika ilikuwa ni moja ya starehe yao wakiwa mapumzikoni.
Ann Kathrin, kwa mara ya mwisho alionekana akiwa na Mario Gotze mara baada ya mchezo wa hatua ya fainali wa michuano ya kombe la dunia dhidi ya Argentina, uliochezwa nchini Brazil katika uwanja wa Maracana, akishangilia ushindi wa bao moja kwa sifuri.
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...



