Moja kati ya mambo ambayo mtu wa anayafikiria kabla hajanunua gari ni kiasi cha mafuta kinachotumiwa na gari hilo. Lakini ukiwa na gari hili… unaweza usifikirie kabisa kuhusu mafuta huku ukilitumia kama kawaida kwa zaidi ya miaka 100.
Wataalam wa masuala ya magari wameeleza kuwa endapo gari linalotumia ‘Thorium’ litaanza kufanya kazi litakuwa gari ambalo linaweza kutumika kwa zaidi ya miaka 100 bila kuongezwa mafuta.
Kwa maana hiyo Thorium itakuwa na uwezo wa kudumu hata zaidi ya maisha ya mtumiaji wa gari hilo.
Kampuni ya Laser Power tayari imeshatengeneza idea ya kutumia Thorium katika engine za magari ambapo wataitumia kitaalam kuchemsha maji na kuwa chanzo cha nguvu ya kuendesha gari.
Hata hivyo, CEO wa Laser Power System, Dr. Charles Sevens aliiambia Mashable kuwa engine za Thorium hazitaweza kuwa kwenye magari hivi karibu kwa kuwa watengenezaji wa magari hawataki kuzinunua.
Cars are not our primary interest. The automakers don’t want to buy them.” Alisema Dr Charles Stevens.
Alisema makampuni mengi ya magari yanataka kutengeneza pesa zaidi kwa kutumia engines za gas na kwamba itawachukua miongo kadhaa kukubali na kuanza kutmia teknolojia ya Thorium.
Endapo gari hili litafanikiwa kuingia sokoni na kununuliwa na watu wengi miaka ijayo, itakuwa hatari kwa biashara ya mafuta hasa kwa wale wanaotegemea magari pekee kufanya mauzo.
Popular Posts
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...