Rais wa Marekani Barack Hussein Obama, ameendelea kuonyesha mapenzi na kikosi cha timu ya taifa ya nchi hiyo, ambacho siku mbili zilizopita kilishindwa kufanikisha safari ya kutinga kwenye hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la dunia huko nchini Brazil.
Obama, ameonyesha kuwa pamoja na wachezaji wa The Yanks, baada ya kupiga simu kwenye kambi ya timu ya taifa ya Marekani na kuzungumza na nahodha Clint Dempsey pamoja na Tim Howard, ambapo amesikika akiwapopngeza kwa niaba ya wachezaji wenzao.
Obama, hakusita kumpa shukurani mlinda mlango Tim Haward kwa kazi nzuri aliyoifanya wakati wote wa michuano ya kombe la dunia ambapo alionekana kuwa kisiki kwa timu pinzani pale walipolishambulia lango la USA.
Hata hivyo raisi huyo wa Marekani amemtaka mlinda mlango huyo wa klabu ya Everton ya nchini Uingereza, kujitayarisha na mapokezi makubwa kutoka kwa mashabiki wa soka nchini humo, kufuatai kazio nzuri aliyoifanya.
Katika kufikisha salamu hizo Obama amemkebehi Howard, kwa kumwambia kutokana na maandalizi yanayofanywa na mashabiki huko nchini Marekani, hana budi kukata ndevu ili kupunguza usumbufu, ambao utapoteza kumbu kumbu kwa walio wengi kuitokana na shauku waliyonayo dhidi yake.
Katika hatua nyingine Obama amewaambia wachezaji wa timu ya taifa ya Marekani ni vipi alivyoumizwa na hatua ya kutolewa kwenye fainali za kombe la dunia za mwaka huu, lakini akawasisitiza kutokuwa na hofu yoyote kwani mpango mkakati wa nchi hiyo kwa sasa ni kutaka kuona soka linachezwa kuanzia ngazi ya vijana wenye umri mdogo
Popular Posts
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...