Mwimbaji wa kutoka Nigeria, D’Banj hivi karibuni alipata nafasi kukutana na Bill Gates, mtu tajiri zaidi duniani anaekadiriwa kuwa na utajiri wa $76 Billion kwa mujibu wa Forbes.
D’Banj na boss huyo wa Microsoft walikutana kwenye party moja ya mwimbaji wa wa U2, Bono na baadae wakapoz na kupiga picha ya pamoja.
Tukio hilo halikuwa dogo kwa D’Banj ambaye anaamini msemo wa kitanzania, ‘ukikaa karibu na waridi utanukia’.
Alipost picha hiyo kwenye mitandao ya kijamii na kuipa maelezo yanatoa ‘ofa’ pia kwa Bill Gate ambaye hajawahi kuimbiwa wimbo na msanii yeyote mkubwa wa Africa (wimbo mzima).
D’Banj alieleza kuwa tukio hilo lilimemu-inspire kuandika wimbo unaomhusu Bill Gates na yeye atakaoupa jina la ‘Bill Getes Knows My Name’.
*Hivi nilisema D’Banj amempa Bill Gates ofa!! Ooh....! inawezekana D’Banj anataka kulitumia vizuri jina la Bill Gates kufanya biashara ya muziki wake. Tusubiri ngoma!
Popular Posts
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...