VJ Penny aliyekuwa mchumba wa Diamond Platinumz amepost picha inayoonesha kwa ukaribu akiwa na pete kwenye kidole cha pete, picha iliyozua hisia nyingi kuwa amechumbiwa ama la.. kwa kuwa hakuipa maelezo.
“Road trip ….site her we come…cc @halimakimwana1.” Aliandika Penny.
Ingawa watu wengi walioamini kuwa VJ Penny amechumbiwa walimpa honger zake kwenye Instagram bado kuna walakini kwa kuwa siku 6 zilizopita alikuwa amevaa pete hiyo hiyo.
Je, amechumbiwa kweli au amehamishia pete hiyo kwenye kidole kingine kwa swag!?
Wakati bado unatafakari jibu ambalo bila shaka yeye binafsi ndiye anaeujua ukweli wa mambo, naomba nikuunganishe na hisia nyingine zitakazolisogeza jibu lako karibu na ukweli au kukutoa kwenye ukweli.
VJ Penny ambaye kwa mujibu wa ‘words on the street’ inadaiwa alikuwa chaguo la kwanza la mama Diamond Platinumz ameweka picha hiyo siku moja baada ya Wema Sepetu kupost picha nyingi kwenye Instagram akiwa na mama Diamond kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa na kuzipa caption mbalimbali huku nyingine zikiwa na vijembe.
Hata hivyo, mwaka jana VJ Penny aliongea na Bongo5 kuhusu uhusiano wake na Diamond na kueleza kuwa yale yalikwisha na amejipanga kufanya mambo yake huku akiamini kuna mtu mwingine atakayestahili nafasi kwake.
Tunampa hongera zote VJ Penny kama ni kweli amechumbiwa, lakini kama ni swag tunampa hongera pia because she looks good kama kawaida yake. #InstaGossip.
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...

