Mashabiki wa timu ya taifa ya Colombia, wakiwepo watu maarufu wa nchi hiyo wamezichapa kavu kavu katika moja ya mijahawa mjini Fortaleza, ikiwa ni saa kadhaa kabla ya mpambano wa hatua ya robo fainali, ambao utashuhudia timu yao ya taifa ikipambana na Brazil.
Miongoni mwa watu walioonekana kwenye zogo hilo ni waigizaji maarufu wa nchini Colombia Manolo Cardona na Carolina Guerra, huku mtoto waraisi wa nchi hiyo Yamid Amat akihusika pia.
Chanzo cha ugomvi baina ya mashabiki wa Colombia walikuwa kwenye mgahawa huo hakijafahamika mara moja, lakini kila mmoja alionekana ni mwenye hasira kabla ya wasamaria wema hawajawatuliza.
Ugomvu huo umeacha hasara kubwa katika mgahawa huo, kufuatia mashabiki hao wa Colombia kurushiana vitu vya kuvunjika kama sahani pamoja na bilauri, hali ambayo ilizua taharuki kwa wateja wengine waliokuwa wakiburudika mgahawani hapo.
Timu ya taifa ya Brazil itapambana na Colombia katika mchezo wa hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la dunia mishale ya saa kumi na moja kwa saa za nchini Brazil lakini kwa hapa nyumbani itakuwa saa tano usiku katika dimba la Estádio Castelão
Popular Posts
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
KAULI ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwamba hawezi kuoa kamwe, inadaiwa kumchefua mwandani wake, Wema Isaac Sepe...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...