Busta Rhymes ametangaza kujiweka kando la label ya YMCMB baada ya kufanya nao kazi kwa kipindi cha zaidi ya miaka miwili.
Busta ameweka wazi uamuzi wake wakati akifanya mahojiano na SiriusXM katika kipindi cha Sway in The Morning huku akitoa sababu kuwa ni kutoelewana katika masuala ya ubunifu.
Busta ambaye aliwahi kuingia katika label ya Dr Dre na kushindwa kudumu pia alisema hakuna tatizo hasi katika kuondoka kwake katika label hizo bali kutofautiana katika makubaliano wakati wa masuala ya ubunifu ndio chanzo kinachopelekea mengine kuibuka.
“Kitu ambacho ni sawa na Cash Money, nilikuwa pale kwa kipindi cha miaka miwili na fursa zilikuwa kubwa kwa kipindi hicho kwa sababu ya aina ya deal iliyokuwa iliyofanyika. Kwangu mimi, huu mradi na vyote nilivyojitolea…kurekodi albam kwa kipindi cha miaka mitano.
Nilimpoteza Chris Lighty kuifanya albam hii, nilimpoteza baba yangu kuifanya albam hii. Kitu nilichokuwa naweka kwenye albam hii, sikubali kupotezea maono yangu kwa hicho.”
Busta alitangaza kujiunga na Cash Money November, 2011 lakini hajawahi kuachia albam akiwa nan a label hiyo.
Mwanzo wa mwezi huu aliachia wimbo aliomshirikisha Eminem ‘Calm Down’, na anajiandaa kuachia albam yake ya kumi inayoitwa E.L.E.2.
Part 1:
Part 2:
Part 3:
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
