Wakati ambapo tafiti za awali zilionesha kuwa kulala muda mrefu kunaweza kusaidia zaidi kuweka sawa afya zetu, tafiti mpya zimeonesha kuwa kulala zaidi ya masaa saba ni hatari sana kwa afya ya binadamu.
Utafiti uliofanywa na Shawn Youngstedt, Professor wa chuo kikuu cha Arizona State umebaini kuwa kulala zaidi ya masaa saba au chini ya masaa saba ni hatari kwa mwili wa binadamu.
Akiongea na Wall Street Journal, professor Shawn Youngstedt amesema kuwa alifanya utafiti kwa watu 9,000 na kubaini kuwa watu wenye umri kati ya miaka 50 hadi 64 waliolala chini ya masaa sita usiku au waliolala zaidi ya masaa nane wana matatizo ya kumbukumbu na uwezo mdogo wa kufanya maamuzi.
''The lowest mortality and morbidity is with seven hours,' says .But eight hours or more has consistently been shown to be hazardous,Just last month a study of almost 9,000 people found those aged 50 to 64 who slept for less than six hours a night - or more than eight - had worse memories and decision-making abilities.”
Kwa hiyo tunashauriwa kulala kwa muda wa masaa saba tu usiku, sio chini ya hapo na sio zaidi ya hapo.
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
New Music: Professor Jay ft J Hustle and Nigga J - 3 Chafu
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
The third installment of the popular The Expendables movie franchise won't hit theaters until August 15th, but a near perfect copy has ...
-
1. Transformers: Age of Extinction A mechanic and his family join the Autobots as they are targeted by a bounty hunter from another wor...
-
Meet Corazon Kwamboka from Kenya,which i prefer to call MISS B00TY,she’s beautiful and voluptuous, check out her stunning photos After ...
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Beef ya mastar wa Nigeria inaonekana bado haijaisha baada ya Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz...
