Mchezo wa kirafiki kati ya klabu ya Lille ya nchini Ufaransa dhidi ya Macabi Haifa uliochezwa nchini Uturuki, umeingia dosari baada ya kundi la mashabiki waliokuwa wamebeba bendera ya Palestina kuingia uwanjani.
Kitendo hicho ambacho kilizua vurugu kwa dakika kadhaa, kilijitokeza datika dakika ya 84 ya mchezo ambapo katika hali ya kushtukiza mashabiki hao walijitosa uwanjani pasina uwoga wowote.
Mbali na kundi la watu kuingia uwanjani, picha za televisheni zilimuonyesha mmoja wa wavamizi hao wa uwanja akipigana na mchezaji wa klabu ya Macabi Haifa, kitendo ambacho kimeashiria tofauti zilizopo kati ya Palestina na Israel.
Hata hivyo klabu ya Maccabi Haifa ina historia kubwa ya kuwa na wachezaji wengi kutoka nchi za kiarabu kama Taleb Tawatha, Mohammadou Idrissou, Weaam Amasha, Ataa Jaber, Mohammed Kalibat pamoja na Ismaeel Ryan.
Popular Posts
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...
Advertisement
Advertisement
Advertisement With Us
Popular Posts
-
Download wimbo Kamili HAPA MKITO wa Msanii mdogo wa Umri Mkubwa wa akili aka "Jose G" akiwa amemshirikisha Legendary SpacDaw...
-
New Music: Chidi Benz Feat Bob Junior - Mahaba Niuwe
-
New Music: Monii ft Roma & GodZilla - Hatuhesabu Masaa
-
Siku 74 baada ya kufunga ndoa na Kanye West huko Florence, Italia Kim Kardashian amefuata taratibu za kisheria na kubadili jina lake rasmi k...
-
Baadhi wanawake siku hizi wamekuwa wakijiuliza vazi gan ambalo linafaa kuvaliwa wakati wa usiku na likawapendeza sasa unaweza kutazama pic...
-
Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kund...
-
Men have to love the fact that twerking has gone from the hood other countries around the world. I just hope they don't think Miley Cy...
-
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa ...